Friday, July 1, 2016

ZAVUMA lyrics by Pitson

Zavuma ah zavuma
sifa na utukufu ni zako weeh mungu wangu
sifa na utukufu ni zako weeh mungu wangu  X3

sifa, utukufu ni zako mungu wangu.
sifa na utukufu ni zako weeh mungu wangu.

sifa zako zavuma
baba zivume zavuma X6

REPEAT

muziki ya kagitaa,eh
maisha yangu yabadilishie (nibadilishie)
naomba baba unibadilishie (nibadilishie)
unibadilishie eh,

baba sifa ah, zako zavumavuma X2
ah ahah ah, zavumavuma,
baba zavumavuma X4

No comments:

Post a Comment