Saturday, August 20, 2016

MKONO WA BWANA lyrics by Mercy Masika

OH,

Wu wu wu wu wu wu

la la la la la la la

umeomba sana ah,

umehangaika sana

umengoja sana ila majibu uoni

nyuma mbele kwa marafiki utoshi.

Usife moyo mungu hayuko busy

ana mpango mwema juu yako X2

Hakika mkono wa bwana si mfupi

wala sikio lake sio nzito  kusikia

mkono wa bwana si mfupi 

wala sikio lake si nzito  kusikia

ahadi zake ni kweli

njia zake sio kama mwanadamu

akili zake ziko juu

hatufikii sisi wanadamu

tulia tulia na baba

Tusife moyo mungu hayuko busy

anampango mwema juu yetu X2

hakika mkono wa bwana si mfupi

wala sikio lake si nzito kusikia

mkono wa bwana si mfupi

wala sikio lake si nzito kusikia

halleluyah ni mwaminifu.

Hakika mkono wa bwana si mfupi

wala sikio lake sio nzito kusikia

mkono wa bwana si mfupi 

wala sikio lake si nzito kusikia

mkono wa bwana si mfupi 

wala sikio lake si nzito kusikia

MAPENZI lyrics by Bahati

Na na na

Hehehehe

hapo mwanzoni, hapo mbeleni

shamba Edeni, ah story ya mapenzi

wengi kwa mapenzi hawana imani, yaliwaumiza sana

mapenzi yanatesa zaidi ya money X2

Na yalimtesanga kakangu zamani

nyumbani kawa kisirani,

washiriki katoka kanisani lalala

yalimtesanga kakangu zamani,

wameyalinda wengi  kwa burudani

kwenye yaonyeshwa msalabani lalala

CHORUS

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?

oh oh oh, aliyekuumba ni Mola X2

Nilifunzwa na Babu ndoa ilivyomtunza,

nikasoma kwa baba naye, Adamu pendana X2

Na Adamu akampenda Hawa ndio maana kala lile tunda

hapo ndipo amri ikazaliwa unakumbuka eh,

Na Adamu akampenda hawa nami nadhani tu,,,

mapenzi yafanya tu nachezwa.

CHORUS

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?

oh oh oh, aliyekuumba ni Mola X2

Nikaogopa kupenda tena, nikaogopa kupata wangu

mtoto mama eh,mbona unatesa mapenzi?

mbona unatesa kwa nini? mbona unatesa mapenzi?

Kazini,nyumbani,kanisani.

CHORUS

oh oh oh, mapenzi kwa nini watesatesa?

oh oh oh, aliyekuumba ni Mola X2

Ah nikaogopa kupenda tena ,nikaogopa kupenda tena,

mungu kaumba mapenzi, mungu kaumba mapenzi,

story ya mapenzi, story ya mapenzi ilianza Edeni.

mungu kaumba mapenzi, mungu kaumba mapenzi

mtoto mama, Bahati tena

Sunday, August 7, 2016

WORSHIP MEDLEY lyrics by Alice Kimanzi

Nobody is like you ooh ooh oooh, through your creation your Glory Radiates

All the nations your  goodness they proclaim, in all the earth your majesty is celebrated

And with my voice shall delight up with thee...

your are highy lifted up   there is no one like you

hale hale hale halellujah x2

hale hale hale halellujah x4 halellujah

all my days i will give you praise and,

 in every situation my hope is in you oohhx 2 because 

you are the most high ,

you are the most high,

you are the most high ,no body like you

you are the most high ,GOD Jehovah jehovah

you are the most high 

you are the most high x2 God. x2

all the praise and adoration, glory and honour

 power and assuarity belong to youuu

all belong to you, to you God 

forever you, for you only you

to you lord, forever you 

majesty to you, forever you

to you forever you

i will live for you ,

for you forever you 

as for me and my house we will live 

for you forever you  Lord.

for you forever youu

Till beat fades.....