Monday, December 21, 2015

NDIO YAKO Lyrics by Gloria muliro

Ingelikuwa mungu anauliza mwanadamu
Jinsi ya kumtendeaaa mwanadamu
Basi mimi nisingekuwa jinsi nilivyo,ata tena ninsingekuwa mahali nilipo
Ungeambiwa sifai, wangekukanya vikali
Ungekumbushwa dhambi zangu za kale baba oooh
Unabariki unayependa, unabariki unavyopenda
Mimi nahitaji eeeh

   (CHORUS)
Nahitaji ndio ooh yako yesu tu
Nahitaji ndio ooh yako yesu tu
Ninataka ndio ooh yako yesu tu
Ndio yako ndio itanisimamisha
Ndio yako itanifungulia milango

Hakuna sikio lenye funiko jamani
Wala sijaona jicho lenye pasia
Adui zako wangelikuwa na uwezo
Wangefunga macho,wangefunika masikio
Wasikuone ukiwa juu,wasisikie umebarikiwa
Meza utaandaliwa mbele yao
Utakula, utakunywa mbele yao
Nasema ndio ndio ya bwana

   (CHORUS)

Eeeh yesu usiposema ndio, mali yangu akili zangu hazitaweza
Wanasema sema ndio, yatoshaaa

   (CHORUS)

NIMEKUBALI lyrics by Eunice Njeri

       (CHORUS)

Nimekubali nasema ndio,kwako ni salama nasema ndio
Nimekubali nasema ndio bwana, najitoa nabiu iliyo hai bwana nitumie

Bwana anatafta watakaomwabudu kwa roho na kweli
Na wakati ndio huu naamini umefika
Nisaidie kutenda kulingana mapenzi yako
Kutembea na maagizo yako moyoni mwangu ×2

   (CHORUS)

Mimi ni chombo mikononi mwako Yahweh
Tena ni udongo na wewe mfinyazi baba, nifinyange nitengeneze
Uishe nafsi yangu chochote utakacho mimi nitatenda ×2

   (CHORUS)

Oooh niumbie, niumbie moyo safi, ili niweze kukutukuza
Bwana nitengeneze kwa ajili ya jina lako baba
Wala usinitenganishe na uwepo wako
Mimi bwana eeeh nimekubali njia zako baba
Nasema ndio kwako baba

   (CHORUS)

Sunday, December 20, 2015

NANGOJA lyrics by Eunice Njeri

Nangoja, nakungoja bwanaa natulia, najua upo
Nibadilishe uniokoeee.... naomba

Ewe bwana nakuinulia nafsi yangu
Mungu wangu naona kiu nijaze
Ewe bwana nijulishe mimi njia zako
Niongoze kwa roho na kweli naomba
Niumbie moyo safi na tena unibariki
Nangoja miguuni pako mimi nangoja

     (CHORUS)

Ewe bwana kumbuka rehema zako
Mungu wangu kumbuka fadhili zako
Nisamehe kwa jina lako Yahweh naomba
Niwe mwema siri zako nijue baba
Niumbie moyo safi nihusishe tena
Nibariki mimi nangoja

    (CHORUS)

Friday, December 18, 2015

MARY DID YOU KNOW Lyrics by Amos and Josh

Ulihisi vipi,mary kumbemba nyasaye
Izo ni kilo ngapi, Mary kwa kuwa yeye ni mkuu
Yeye ni mkuu ×2

Mary did you know aaah
Eeeh did you know
Mary did you know that your baby boy will one day walk on water
Mary did you know that your baby boy will save our son's and daughter

Wazo lako lilikuwa gani Mary kupokea habari ya kumleta umu duniani
Mary coz ni mwana wa mungu
Mary did you know that your baby boy is the Lord of all creation
Mary did you know that your baby boy could one day rule the nation

Hakuwa tu atembee ilhali awe maji ya uzima
Hakuwa tu atufie ilhali awe maisha kwetu

Mary did you know
  Vipofu wanaona
  Viziwi kusikia
  Viwete wanaruka
Watoto wanaimba sifa zake bwana ×2
Mary did you know

Monday, December 14, 2015

HOLY SPIRIT lyrics by Meddy

I know I mess up all the time
I'll never be perfect for you... No!
Believe and pray that's all I can, right now
Crying for you, waiting for you to come, set me free
Be with me, walk with me, everyday
I'm pushing harder and harder it's not working
Hear me one more time holy spirit

   (CHORUS)
  Holy spirit, be my friend
  Lover of my soul, rescue me
  Oh Lord, touch me oh Lord
  Oh Lord, touch me oh Lord

Here I am, back again, can you see me
Say a word, I believe, I'll be changed
I need another chance, would you please be my God?
I lost my way, come and pick me back
I wanna sing my song, Hallelujah
Help me please, sing with me Hallelujah
I'm pushing harder and harder, it's not working
Hear me one more time Holy spirit

  (CHORUS)

UMETENDA MEMA Lyrics by Kambua

Nakushukuru wewee, nakutukuza wewe
Umenitendea mambo ya ajaabu
Mimi nisemeje, ili nikushukuru
Nasema ewe mungu, umenitendea

     (CHORUS)
Umetenda mema ×3
Ndio maana naimba
Umetenda mema ×3
Ndio maana naimba

Wimbo wa moyo wangu, na nafsi yangu yote
Yasema ewe mungu, umenitendea
Maisha yangu yote, nakutolea wewe
Kwa maana ewee baba, umenitendea

   (CHORUS)

SEND FORTH lyrics by size 8

     "Lord we need you"
     "Father we need you"
      Show us way Lord
      Direct us Lord

Send forth your light, your truth
Let them guide me, let them lead me to your holy mountain
To the place where you dwell ooh Lord
Then I will go to the alter of God ×2

To God, my joy, my delight
I will praise you Lord ×2

   Praise you with my harp
   Praise you with my heart
   Praise you with my voice
   Praise you with dancing and singing ×2

Hallelujah
Hallelujah
Hallelujah
Praise to the holy one ×3

Sunday, December 6, 2015

STORY YANGU Lyrics by Denno and Bahati

   DENNO
Niskize mtoto wa mama, hivi unavyo niona aaah
Mimi Denno, nimetoka na mbali sana eeh
Mtoto wa mama, hivi unavyoniona aaaii
Mimi Denno, nimetoka na mbali sana eeh
88 kangemi nikazaliwa, aaaii ata mwangaza sikuwai kuja kuona eeh

      (CHORUS)
Story yangu ni story yangu
Ebu rafiki nipe sikio
Mi nataka simulia ×2

  BAHATI
Najua uchungu maswali mengi kwako moyoni
Kwa nini mola iwe hii,kwa nini mola iwe mimi
Najua uchungu na mimi hunioni, niko na rasta lakini mbona imefungika
Kapewa story 99 mama alipoondoka
Skiza nikupe story kumbuka ghetto ni ngori
99 baba akanitoka sana ikawa machozi
Mchanga na sijiwezi maisha, kung'ang'ana nikaona siwezi
Ndoto zangu nikatupa mbali,ila leo niko mahali
Maisha ya kung'ang'ana na siwezi, kumbe mungu aliona mbali
Ivo mziki amenipa mimii...

   (CHORUS)

DENNO
Nasema mungu ni mwema, story zimebadilila

BAHATI
Leo hii tunaimba wanabarikiwa

Saturday, December 5, 2015

YUKO NA WEWE

This one for you... moyoni waumia
This one for you... kila mara walia

He will never leave you
He will never forsake you
He will never leave you believe it when I say ×2

        (CHORUS)

Yuko na wewe.. yuko na wewe
Futa machozi yesu yuko na weweee ×2

Nikiangalia vizuri
Uko nyumbani pekee yako
Kila kitu kilienda mrama
Nikama wanakuchukia, unaona ni vizuuri
Ukichukua maisha yako
Izo zote ni uwongo wa shetani
Neno lake bwana lasemaa

   (CHORUS)

Amkaa furahia
Kwani yesu amekuondoa milele
Rukaaa sherekea
Kwani kwake kuna amani tele
Usijalishwe na za dunia
Kwani kwa yesu unayo yote
Usiskize uwongo wa shetani
Neno lake bwana lasemaa

     (CHORUS)

AFADHALI YESU

Nimepanda, nimeshuka
Milima mabonde na mito nimevuka
Nimeosa, nimesota, nimekosa mpaka mpaka nimekopa
Nimeamini binadamu...
Ole wangu roho wakanivunja
Niliambiwa nikakana,mimi mwenyewe nimekuja on
Tunachodhamini hakitufai
Tufurahiii ooh najiuliza furaha yangu ni nani????

       (CHORUS)

Afadhali yesu aaah
Afadhali ye aliye na yesu ×4

Nimesakasaka mali saana
Nikipatapata bado nataka more
Nimesakasaka pesa saana
Nikipatapata bado nataka more
Makosa yangu na dhambi zangu
Matendo yangu yale ninajuta
Umechukua umeondoa
Ulisema hutayakumbuka

    (CHORUS)

MWEMA

Wako mwana ukamtumaaa duniani
    Kisa na maana
Nipate uzima jamani ×2
Ishara kwamba unanipenda
Hivyo nshaelewa sifa nitakupa zaidi×2

          (CHORUS)
Nasiwezi jizuia
Kusema wako wema nasio kama
Najigamba umenitenda mema ×2
Umekuwa mwema kwangu

Umenitoa gizanii...
Nlipokuwa nimeshikwa mateka
Ukanipa tumaniii,kwako nkajificha
Sasa nitakupa niniii...
Iwe sawa na yale umetenda
Hakuna ila moyoniii
Sifa nitakuimbia
Ilikugarimu msalambani unifieee
Hivyo inanibidi, sifa nikuimbie
       Eeeeeh
Wema wako niseme
Ili na wengine wakujue
Wote waungane nami
Na wazee ishirini na nne

      (CHORUS)

          (WACHA NIRINGE)
Umekuwa mwema kwanguu
Oooh Yahweh oooh kwanguu
Oooh umenitendea àaaah
Kwanguu eeeeh

   (CHORUS)