Monday, January 25, 2016

BWANA UMENICHUNGUZA lyrics by Christina shusho

Eeh bwana umenichunguza na kunijua
Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwaangu
Umelifahamua wazo langu, tokea mbali..
Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwaangu
Umeelewaa na njia zaangu zoote eeeh ×2

Maana hamna neno lingine mwamgu, usilojua kabisa bwana
Umenizingira nyuma na mbele, ukaniwekea mkono wako
Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mi- mimi
Hayadhirikiki siwezi kuyafikia ×2

Niende wapi nijiepushe na roho yako
Niende wapi niukimbie uso wako ooh
Kama ningepanda mbiguni, wewe uko ooh
Ningefanya kuzimu,giza na uko nako uko ooh
Kama nikisema litagiza litanifunikaa, giza nalo haliko lifichi kitu
Giza na mwanga kwako ni sawa sawaa

Eeh mungu unichunguze, ujue moyo wangu eeh mungu
Unijaribu uyajue mawazo yangu eeh mungu eeh mungu
Uone kama niko njia iletayo, majuto ndani yangu eeh mungu
Ukaniongoze katika njia ya haki milele
Maana wewe ndiwe uliyeniumba, mtima wangu eeh mungu
Macho yako yaliniona kabla sijakamilika eeh mungu
Nimekuita uisikie sauti yangu eeh mungu
Eeh mungu unichunguze ujue moyo wangu eeh mungu
Unijaribu uyajue mawazo yangu eeh mungu eeh mungu

Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo
Yapate kibali  mbele zako eeh mungu eeh mungu ×3

ONGOZA HATUA ZANGU lyrics by Christina shusho

Hatua za mwenye haki, za ongozwa naye bwana
Na bwana hufurahia njia zake wakati wote ×2

Nakukabidhi bwana, njia zangu zote pia nakutumaini najua bwana utafanya
Ata nijapo jikwaa, sitaanguka chini Bwana utanishika mkono na kunitengeneza ×2

Umwangazie mtumishi wako, uso wako
Maana ninayatamani, maagizo yako
Elekeza hatua zangu, kwa neno lako
Uovu usije ukanimiliki ×2

Eeh bwana naomba
Ongoza hatua zangu eeh bwana
Eeh bwana ongoza mwendo wangu
Eeh bwana eeh bwana ×9

USHIRIKA NA ROHO lyrics by Christina shusho

  (CHORUS)
Mimi nataka ushirika na wee ewe roho
Mimi nataka ushirika na wee roho ×5

Nimekubali habari hizi, ya kuwa wewe ni muungu roho nataka ushirika na wee
Ulikuwepo tokea mwanzo, ulishiriki kuniumba roho eeh roho wee nataka ushirika na wee
Nakuhutaji maishani, unihifadhi moyo wangu roho eeh roho wee nataka ushirika na wee

  (CHORUS)

Wayachukua maombi yetu,watuombea kwa kuwa roho eeh roho wee nataka ushirika na wee
Ukiwa nasi, twatiwa nguvu twatenda kazi kwa ujasiri roho eeh roho wee nataka ushirika na wee
Uyatawale maisha yangu, sitaogopa ukiwa nami roho eeh roho wee nataka ushirika na wee

  (CHORUS)

Wewe mungu uliye hai, tena roho wa kweli, wewe kiongozi nataka ushirika na wee
Wewe mafuta ya shangwee, tena arabu ni yetu roho wa milele nataka ushirika na wee
Wewe roho msaidizi, tena mshauri wetu wewe kidole cha mungu nataka ushirika na wee

  (CHORUS)

WAKUABUDIWA lyrics by Christina Shusho

  (CHORUS)
Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe mungu
Wakupewa sifa, na utukufu ni wewe mungu
Mungu mwenye nguvu, wastahili heshima zote
Hakuna mwingine, wakulinganishwa na wewe mungu ×2

Umesema wewe, jina lako liko na liko niwe mungu
Unafanya mambo, yaliyo juu ya fahamu zetu mungu
Ukisema ndio, nani awezaye kupinga hakuna
Wewe unatupa, kushinda na zaidi ya kushinda
Unatupandisha,utukufu hadi utukufu mungu ×2

  (CHORUS)

Uzima wetu, uko miikononi mwako mungu
Unawapa nguvu, wanyonge na wadhaifu mungu
Unawanyeshea mvua wema nao waovu mungu
Mwanadamu nani, wakulinganishwa na wewe mungu
Nani mwenye nguvu, wa kusimama mbele yako mungu ×2

  (CHORUS)

Bwana utukufu wako singuse, mbali utukufu ukurudie wewe mungu wangu

Thursday, January 21, 2016

WAWEZA lyrics by Evelyn Wanjiru

  (CHORUS)
Waweza waweza waweza mwokozi
Waweza mambo yote wewe mwaminifu ×2

Bwana mungu wangu, umenikomboa
Umeniwezesha mimi wewe ni mkuu
Ukaniita kwa jina langu eeeh, ukaniwezesha bwana wee nikuabudu bwana nikuimbie
Nilipokuwa kwenye dhambi, ukanionyesha mwanga, wewe ni mwanga wangu bwana wewe ni mkuu

  (CHORUS)

Bwana mungu wangu eeh wewe ulimsaidia Ayubu, alipokuwa na shida nyingi Bwana ulikuwa naye
Neno lako linasema, unazo fedha zote ni zako bwana wewe ni muweza

  (CHORUS)

Wakati ninazo shida na magonjwa, bwana unasema tuliite jina lako
Na we ndiye muweza,wewe ndiye mwenye nguvu
Wewe ni kimbilio baba, waweza mambo yote

  (CHORUS)

Unaweza, unaweza, unaweza baba unaweza ×5

TUNAKUABUDU lyrics by Evelyn Wanjiru

  (CHORUS)
Tunakuabudu
tunakuabudu
tunakuabudu
Mwenye enzi ×2

Tunainama mbele zako tukikusujudu maana wewe ni mtakatifu wa watakatifu

  (CHORUS)

Tunanyenyeke mbele zako nikisema wewe ni mtakatifu wa watakatifu ninakusujudu baba

  (CHORUS)

Uko hapa bwana yesu uko hapa bwana yesu ×2
Mwana wa mungu simba wa yuda, umetawala uko apa

Oooh imbia yesu anayenipigania
Oooh imbia yesu anayenipigania ×3

NIKUFAHAMU lyrics by Evelyn Wanjiru

  (CHORUS)
Nikufahamu zaidi bwaaana, nikujue zaidi yesu
Nikufahamu zaidi Yahweh, nikuishie milele bwanaa ×2

Nataka nitembee na wewe wakati wote
Nitembee kwa nuru yako baba eeh
Nishirikiane na  wewe eeh kwa kila jambo ongoza hatua zangu, ewe baba,ongoza hatua zangu ewe baba

  (CHORUS)

Wewe ni mume wa wajane, baba wa yatima mfariji wa waliofiwa
Mtetezi wa wanyonge, unaponya waliovunjwa mioyo
Nakuzinganda jeraha zao baba eeh
Hawa wote tengemeo lao ni wewe baba
Ndiposa wanasema

  (CHORUS)

MUNGU MKUU lyrics by Evelyn Wanjiru

Unabaki kuwa mungu pekee

  (CHORUS)
Zaidi ya yote, utabaki kuwa mungu mkuu
Alpha na Omega, hubadiliki kamwe ×2

Nikitazama nyuma na mbele, naona ukuu wako
Kaskazini, kusini pia naona ukuu wako
Magharibi nako mashariki pia naona ukuu wako

  (CHORUS)

Hakuna mkamilifu katika wanadamu yeeh,zaidi ya ewe mungu wangu
Kila goti lipigwe, kila ulimi ukiri kuwa wewe ni mungu pekee pekee

  (CHORUS)

Umenipigania vita vikali, ambavyo mimi singeweza pekee yanguuu
Maaduii waliniandama, lakini ukawatawanya kwa njia sabaa
Usifiwee, uabudiwee iyeeeh

  (CHORUS)

Anabaki kuwa mungu tuu
Anabaki kuwa mungu tuu
Na kwa wakamba (mungu tu)
Na kwa waluhya  (mungu tu)
Nao wakikuyu (mungu tu)
Nao waturukana (mungu tu)
Ata wakisii (mungu tu)
Ata waluo (mungu tu)
Na kwa wamaasai (mungu tu)
Na kwa wakalenjini (mungu tu)
Wa mijikenda (mungu tu)
Anabaki kuwa mungu tu
Na kwa wazungu (mungu tu)
Afrika yote (mungu tu)
Dunia yote utabaki kuwa mungu mkuu

  (CHORUS)

Saturday, January 16, 2016

MY LIFE IS IN YOUR HANDS lyrics by Kirk Franklin

Verse 1
You don't have to worry and don't you be afraid
Joy comes in the morning, troubles they don't last a day
For there's a friend in Jesus, who will wipe your tears away
And if your heart is broken, just lift your hands and say
Oh
I know that I can make it
I know that I can stand
No matter what may come my way
My life is in your hands ×2

Verse 2
With Jesus I can make it
With him I know I can stand
No matter what may come my way
My life is in your hands

So when your test and trials
They seem to let you down
All your friends and loved ones
Are nowhere to be found
Remember there's a friend in Jesus, who will wipe your tears away
And if your heart is broken
Just lift your hands and say

Oh
I know that I can make it
I know that I can stand
No matter what may come my way
My life is in your hands
With Jesus I can take it
With him I can stand
No matter what may come my way
My life is in your hand ×3

My life is in your hands

IMAGINE ME lyrics by Kirk Franklin

Imagine me
Loving what I see when the mirrors looks at me cause I
Imagine me
In a place of no insecurities and I'm finally happy cause
Imagine me
Letting go of all of the ones who hurt me, cause they never did deserve me
Can you imagine me?
Saying no to thoughts that try to control me
Remembering all you who told me Lord
Can you imagine me?
Over what my mamma said and healed from what my daddy did and I wanna live
And not read that page again

  (CHORUS)
Imagine me
Being free, trusting you totally, finally I can
Imagine me
I admit it was hard to see you being in love with someone like me finally I can
Imagine me

Being strong and not letting people break me down
You won't that joy this time around
Can you imagine me
In a world, where nobody has to live afraid
Because of your love fears gone away
Can you imagine me?
Letting go of the past and glad I have another chance and my heart will dance cause I don't have to read that page again

  (CHORUS)

The song is dedicated to people like me
Those that struggle with insecurities, Acceptance and ever self esteem
You never felt good enough, you never felt pretty enough
But imagine God whispering in your ear
Letting you know that everything that has happened is now gone
GONE
it's all gone
Every sin is gone
Every mistake is gone
Every failure is gone
Depression is gone
By faith is gone
Low self-esteem is gone

Hallelujah it's gone

  God loves you

Friday, January 15, 2016

MWANAKE lyrics by Benachi ft. Kaberere

Sawa sawa, sawa sawa
Mimi mwanake...... iye

  Benachi
Usinione nimechakaa, unitilie dharau
Mimi binadamu... uuu, umesahau
Unaishi kwa dhamani, ninaishi kwa imani
Mbele zako mimi sina haki, mbele zake mimi mwenye haki
Fahamu kuwa mola ndiye aliyeniumba mimi na wewe

  (CHORUS)
Mimi mwanake usiku nitalala
Mbele zake maulama sote tuko sawa ×2

  Kaberere
Ulinipuuza mie eti sifai kuwa nawee
Uliniona mie eti hatia kula naweee
Sahani moja, tulipotiliwa chakula.... aaah
Nyumba moja tulipofaa kuishi pamoja
Wema wake taji la upendo juu yangu
Ndani yake vikubwa na uoga, vyote upeo wa kimya

  (CHORUS)

Ooh uwoo uwoo oooh
Ulinipuuza mie... eeeh ooh uwoo uwo ooh
Sahani moja... eeeh ooh uwoo uwoo ooh
Nyumba moja... eeeh ooh uwoo uwo ooh

  (CHORUS)

Usiku nitalala mbele zake
Mimi mtoto wake, mimi toto lake
Usiku nitalala nitang'orota
Nitajifunika gubigubi nitang'orota
Sitaamka sababu wewe haunipendi
Nitalala sana mimi mwanake
Chako ni changu oooh
Sote tuko sawa.... yei yei yei
Ooooh mmh mmmmh

HALLELUJAH lyrics by Alexandera Burke

I heard there was a secret chord, that David played and it pleased the Lord
But you don't really care for music, do you
Well it goes like this the fourth, the fifth the minor fall and the major lift
The baffled king composing hallelujah

      HALLELUJAH.........

Your faith was strong but you needed proof
You saw her bathing on the roof
Her beauty and the moonlight overthrew you
She tied you to her kitchen chair
She broke your throne and she cut your hair and from your lips, she drew the hallelujah

      HALLELUJAH........

Well,maybe  there's a God above but all I've ever learned from love was how to shoot somebody who overthrew you
It's not a cry that you hear at night
It's not someone who's seen the light
It's a cold and it's a broken hallelujah

      HALLELUJAH..........

USIFURAHI JUU YANGU Lyrics by Upendo Nkone

Usifurahi juu yangu eeeh adui yangu
Niangukapo mimi nitasimama tena
Kumbuka niwapo gizani bwana ni nuru yangu
Hawezi kuniacha bwana mimi niangamie ×2

Si vyema kunisema vibaya nipatapo tatizo
Shetani wampa nafasi ndani ya moyo wako
Kumbuka kwa maobi yako nitasimama tena
Na utapata baraka kutoka kwake mungu ×2

Maana heri mtu yule ambaye kinywa chake
Ni kuwabariki wenzake na kiwaombea
Maana maneno mabaya huchafua moyo
Ukiwekwa mbali na mungu ni vyema uwe safi
Ukiona niko kwenye shida niombee
Ndoa yangu imevunjika wewe niombee
Nikifukuzwa kazini ndugu niombee
Magonjwa yananiandamaa niombee
Biashara haina faida niombee
Nikikawia kupata mtoto niombee
Nimekuwa mtoto yatima niombee
Ata nijapo kuwa mjane niombee

Ujue kwa maobi yako mimi nitasimama tena
Ujue kwa maobi yako nitabarikiwa ×4

MITEGO lyrics by Kaberere

Alijipata amevaa suti na tai Kali, ameamka anaenda kutafuta mashilingi
Na kumbe mbele majaribu na mipango  mikali mikali
Alirejea kama hana kitu mfukoni, akaangaliwa na uzuni na watoto waake
Akawaimbia oringo ooh ooh, na kuwaimiza mungu yupo

  (CHORUS)
Wamechimba shimo niingie, wataingia wenyewe
Wameweka mitego nipitie, watapitia wenyewe
Tegua tegua mitengo walioniwekea
Pangua pangua mipango walionipangia

Baba najua una nguvu ya kupangua, mitego ile imewekwa ili niabike
Baba najua una nguvu mingi, anaweka imani kwako
Natazama mbigu nakuona Paulo na Sila
Natazama mbigu nakuona utumishi sitakando
Natazama mbigu nakuona baba Yusufu
Natazama mbigu naoona...

  (CHORUS)

Wednesday, January 13, 2016

AMENIPANDA lyrics by Jemimah Thiong'o


  (CHORUS)
Bwana asema, amenipanda mimi
Kando ya mito yenye maji mengi
Bwana asema, amenipanda mimi
Kando ya mito yenye maji mengi

Ni Bwana alonipanda, kwa mikono yake Baba
Kando ya mito yenye rehema na baraka
Kunipalilia Baba, sikosi mbolea maji
Naishi nikiamini, siwezi nyauka nimepandwa ee

  (CHORUS)

Kweli Baba wa rehema, amenipanda mimi
Baraka zanifuata kokote niendako
Amenipa uhai, akalinda afya yangu
Ndiposa nashuhudia, sifa alozipanda Mungu wangu

  (CHORUS)

Imani ya wokovu, Hushinda majaribu
Hiyo ni baadhi ya mito nilopandwa kwayo
Mambo yangu yote baba, hupanga kwa utaratibu
Kwa maana anijali, aliyenipanda Mungu wangu wee

  (CHORUS)

Hakuna juu mbinguni, wala chini duniani
Anayeshinda Mungu muumba mpanzi wangu
Hunizunguka mimi, kwa damu ya mwanao
Hunilinda vyema, sipati madhara kwani nimepandwa ee

  (CHORUS)

UWEZO lyrics by A dawn Age Band


NIlikuwa natafuta ukweli wa maisha yangu
Sasa mie nauliza, nianze wapi eh
Marafiki wangu wote wamenikimbia ahe
Jehova Nissi nlia nihurumie
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako

Nilikuwa natafuta kipenzi cha roho yangu
Sasa mie nauliza, nianze wapi eh
Maumivu machungu mengi yamenijaza mie eh
Jehova Nissi nlia nihurumie, nipe
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako

NIlikuwa natafuta ukweli wa maisha yangu
Sasa mie nauliza, nianze wapi eh
Marafiki wangu wote wamenikimbia ahe
Jehova Nissi nlia nihurumie
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako

Nipe uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako

Ohh aa….

Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako
Uwezo, uwezo, wa kusimama imara juu ya neno lako

Wa kusimama imara juu ya neno lako eh
Wa kusimama imara juu ya neno lako eh

YOU DO MIGHTY THINGS lyrics by Sinach


I stand amazed in your presence
There is nothing you cannot do
I stand amazed in your presence
There is joy, peace and hope

There’s no one like you Jesus
There’s no one like you – in all the earth
There’s no one like You Jesus
There’s no one like you

Refrain:
You do mighty things, you do glorious things
You’re a faithful God; awesome is your Name
(Repeat)

(Repeat from top)

Mighty God you are, Glorious God you are
We lift our hands to give you thanks God
There’s no one like you

(Refrain)

GREAT ARE YOU LORD lyrics by Sinach


Holy, Holy, God Almighty
It’s a privilege to worship you
Maker of all universe
It’s an honour just to stand before you (Repeat)

With a grateful heart I lift my hands to you
Proclaiming Lord you reign! (Repeat)

Great are you Lord, Your greatly to be praised
Greatly to be praised, Father you reign (Repeat)

We lift up our hands, You reign,
We worship you, You reign…

(Repeat from Top)

Lift up your voice and worship him,
He reign in our midst, Father you reign,
You reign, Hallelujah!

Great are you Lord, Great are you Lord x

NI WEWE lyrics by Janet Otieno


Kila Kitu Changu Ni Wewe
Ninaye Mwimbia, Ni Wewe
Maishani Mwangu, Nimeamua Ni Wewe
Mi Nimeshanganzwa Na Matendo Yako Baba
Ulivyonichukua Na Kunitunza Kama Wako
Sa Mi Ni Wako, Kwangu Kwako
Ukanipenda, Ukaniita Mwana Wako

  (CHORUS)
Juu, Chini, Kushoto Kulia
Sijamwona Kama Wewe
Sa Mi Ni Wako, Kwangu Kwako
Ukanipenda, Ukaniita Mwana Wako
Naomba Uniweke Kwako Ndani
Niwe Imara Kama Milima Zayuni
Hauta Anguka Kukiwa Na Mawimba Wala Kutikiswa Kukiwa Na Adui
Kila Kitu Ni Wewe

Kila Kitu Changu Ni Wewe
Ninaye Mwimbia, Ni Wewe
Maishani Mwangu, Nimeamua Ni Wewe
Mi Nimeshangazwa Na Matendo Yako Baba
Ulivyonichukua Na Kunitunza Kama Wako
Sa Mi Ni Wako, Kwangu Kwako
Ukanipenda, Ukaniita Mwana Wako

  (CHORUS)
Jua, Chini, Kushoto Kulia
Sijamwona Kama Wewe
Sa Mi Ni Wako, Kwangu Kwako
Ukanipenda, Ukaniita Mwana Wako
Naomba Uniweke Kwako Ndani
Niwe Imara Kama Milima Zayuni
Hauta Anguka Kukiwa Na Mawimbi Wala Kukiwa Na Adui
Kila Kitu Ni Wewe


TOSHEKA lyrics by M.O.G


Una Nyumba Nzuri,
Una Bibi Mzuri Mbona Uko Nje Una Randa,
Una Watoto Wazuri,
Una Bwana Mzuri Mbona Uko Nje Una Randa,
Kitu Kizuri Bwana Wewe Kamata,
Wacha Tamaa Ya Fisi Wewe Ridhika,
Kitu Kizuri Dada Wewe Kamata,
Wacha Tamaa Ya Fisi Wewe Ridhika,
Kila Mtu Anatamani Pesa,
Na Mali Ya Kutesa,
Naomba Mungu Mi Nitosheke,
Nisizidiwe Na Mawazo

Refrain:
Hiyo Kidogo, Hiyo Kidogo, Tosheka Nacho,
Hiyo Kidogo, Hiyo Kidogo, Ridhika Nayo
Hiyo Kidogo, Hiyo Kidogo, Tosheka Nacho,
Hiyo Kidogo, Hiyo Kidogo, Shukuru Nayo

Oooh Una Mali, Na Mali Ni Ya Nini
Ninaipata Na Sidhiriki,
Nilikosa, Sina Amani,
Yeeeeeah,
Na Afya Ninayo Nzuri, Na Kazi Nzuri,
Maisha Mazuri, Sijui Mbona Siridhiki
Oooh Nikipata Hiyo,
Ninataka Ile, Ninataka Ingine
Nikipata Hiyo, Ninataka Ile,
Nikipata Ile, Ninataka Ingine

Refrain:

Nataka Kuridhika Yesu,
Nisadie Wewe,
Nataka Kuridhika Baba,
Niridhishe Wewe,
Nataka Kuridhika Yesu,
Nisadie Wewe,
Nataka Kuridhika Baba,
Niridhishe Wewe,
Toshe Toshe, Toshe
Tosheka…
Moyo Wangu Tosheka, Toshe Toshe
Toshe Tosheka,
Mungu Baba
Niridhishe
(Repeat)

Nikipata Hiyo, Ninataka Ile,
Ninataka Ingine, Nikipata Hiyo, Ninataka Ile
Nikipata Ile, Ninataka Ingine

NAPENDA lyrics by Christina Ashusho


Napenda Neno Lako
Napenda Hekima Zako
Napenda Sifa Zako
Kila Kitu Kwako Napenda

Napenda Hukumu Zako
Napenda Huruma Zako
Kila Kitu Kitokacho Kwako
Mimi Napenda
Mfalme Napenda

  (CHORUS)
Napenda Utawala Wako
Napenda Ahadi Zako Yesu
Na Mafundisho Yako,
Na Ukarimu Wako

Napenda Nione Ukinitendea
Napenda Nione Ukinibariki
Napenda Nione Ukiniinua
Kila Kitu Mimi Napenda

Napenda Nione Ukiniponya
Napenda Nione Ukinifariji
Napenda Nione Ukiniinua
Kila Kitu Kwako Bwana Mimi Napenda x2

  (CHORUS)

Napenda Napenda, Kila Kitu Kwako
Mimi Napenda
Napenda O Napenda,
Kitokacho Kwako Mimi Napenda

  (CHORUS)

NISIZAME lyrics by Tumaini


  (CHORUS)
Nisizame Yesu Uniokoe
Nisizame Uniokoe x2

Magonjwa Yananiaandama
Hospitali Zote Nimemaliza
Kupona Sijapona
Magonjwa Yananiaandama
Madaktari Wote Nimemaliza
Kupona Sijapona
Njoo Haraka Unisadie, Nisizame
Uje Himu Uniokoe, Nisizame

  (CHORUS)

Naona Huduma Imekuwa Nzito
Naona Huduma Hii Baba Yangu
Kama Ni Mzigo
Umekuwa Kama Mwiba
Lakini Nakuita Unisadie, Nisizame
Nisizame Baba, Nisizame

  (CHORUS)

Elimu Nimemaliza, Kazi Nimetafuta,
Nimekosa
Mwenye Nyumba Naye Amekuja
Akidai Kodi Ya Nyumba
Hata Shilingi Mimi Sina
Nimejaribu Kuomba Kwa Majirani
Ndugu
Ndugu Zangu Wote Hakuna Msaada
Marafiki Zangu, Hakuna Msaada
Ni Wewe Tu Msaada Wangu,
Nisizame
Hii Ni Ombi Langu, Nisizame

  (CHORUS)


SHUKA BABA lyrics by Eunice Njeri


  (CHORUS)
Shuka Utende Yesu,
Kenya Tunakungoja
Shuka Utende Yesu,
Tunakungoja

Hapa Hatutoki Bwana,
Hadi Tukuone
Shuka ee, Shuka Baba
Jamii Zilizotengana,
Mayatima Baba
Viumbe Vyote Baba,
Wote Tunakungoja
Jamii Zilizotengana,
Tunakungoja
Mayatima Baba
Nena Neno Moja,
Tunangoja

  (CHORUS)

Wajane Na Wagonjwa,
Matajiri Wote
Dunia Nzima Yahweh,
Wote Tunakungoja
Neno Kwa Sauti,
Nena Neno Lake
Tuko Tayari Kusikiza Wote Tunakungoja

  (CHORUS)

Bridge:
Kama Siku, Siku Ya Pentekost4
Shuka Na Moto Wote Ututembelee x2

  (CHORUS)
Shuka Utende Yesu,
Kenya Tunakungoja
Shuka Utende Yesu,
Watu Wanakungoja

RACING UP lyrics by Paul Mwai


Well I Know Lord It’s True
You’re The Answer To My Trouble
You’re The Author And Finisher Of My Father
The Anchor Of Ma Life;
I’m Gonna Trust You Ma Redeemer
My Desire; Precious Jesus,
You’re Familiar With My Weakness
And I Fix My Hope Upon Jesus
You’re The Author And Finisher Of Ma Faith
I Will Trust In You All The Day
And I’m Gonna Reach To Ma Home

  (CHORUS)
I’m In The Race Moving On To Your
Father
No More Turning Back, I’m In The Race
To Ma Destiny x2

Until I See You Ma Redeemer
Until I See The Man Who Died For Me
I Will Never Lose My Way,
Cause I’m In The Race To Ma Destiny

  (CHORUS)
I’m In The Race Moving On To Your
Father
No More Turning Back,
I’m In The Race To My Destiny x2

For I Believe My Saviour
You Live, I’m Gonna Run The Race
Before Me Step By Step To The Winning Line,
I’m In The Race To Ma Father

  (CHORUS)
I’m In The Race Moving On To Your
Father
No More Turning Back,
I’m In The Race To Ma Destiny x2

KAZI YA MSALABA lyrics by Daddy Owen ft Danny Gift


Baraka Nimepokea, Kwako Nimetulia Mimi
Nisije Tumbukia kwa mambo Ya Dunia
Kwako Nijifiche Milele
Fitina Zanizingira, Anasa Kila Kona
Kwa Mikono Yako,
Niweke Mtakatifu
Tokeo Leo Hadi Milele
Niwe Radhi Mimi, Kwa Makosa Yote
Anipenda, Anijali, Anipenda x2

Refrain:
Kazi Ya Msalaba, Nimepokea, Nimekubali,
Nitakusifu, Nitakuimbia Milele x2
Ilikuwa Ni Juzi Tu, Mwanzo Kwangu Kutembea
Ukapumzisha Kwangu Kuongonjea
Lakini Kwako Zaidi Nasogea
Nishiriki Nawe Kwa Mazoea
Zile Kwako Ndo Napokea
Nikuone, Kwangu Baba Ukinitendea
Wewe Ndo Wangu Tu Mimi Na Wewe Tu
Nikuone Kwangu Ukinitendea x2

Refrain:
Siri Ni Yesu, Baba
Siri Ni Ye
Siri Ni Yesu x2
Refrain:


HAKUNA SILAHA lyrics by Sarah k.


Hakuna Silaha Yeyote
Iliyotumwa Kinyume Chetu
Itakayofaulu x2

Silaha Yoyote Itakayotumwa
Kwa Njia Moja Au Nyingine
Itawanyishwa Kwa Njia Saba
Haitafaulu x2

(Refrain)
Yalionenwa
Na Walio Hai Na Walio Kufa
Chini Ya Maji Na Nchi Kavu
Haitafaulu x2

(Refrain)
Hakuna x3
Itakayofaulu
Neno La Mungu Linasema Hakuna,
Uchawi, Mapepo, Unganga, Ushirikina
Itakayofaulu
Usiogope, Simama Na Neno La Mungu
Refrain:

YOU NEVER KNOW lyrics by Willy paul


Willy Willy Willy Paul
Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Mlo
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Mlo
Lakini Kesho You Never Know

You Never Know, You Never Know, You Never Know,
Eeeeeh Oooooh Eeeeeeh
( repeat 2 times )

Verse: 2
Kwako Taabu Na Njaa
Unashindwa Utafanya Nini
Hakuna aaaa
( repeat 2 times )

Nabusara Ya Wahenga
Nikila Mtu Hupata Raha
Mgani Moja Atakaye
Muamini Yeye

Yatakuwa Shwari Yatakuwa Shwari
Usimpandue Usimpandue
Anakupenda Wee Anakujali

( Chorus! )
Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Na Mlo
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umelemewa
Lakini Kesho You Never Know

Nasema Leo Umekosa Mlo
Lakini Kesho You Never Know

You Never Know, You Never Know, You Never Know, You Never Know,
Eeeeeh Oooooh Eeeeeeh
( repeat 2 times )

You Never Know, You Never Know, You Never Know.

BARUA lyrics by Bahati


Bahati tena eeh!
Furahi yote Baba naitoa moyoni,
Na nifurahi yote kwako husikie hewani.
(ooohmmmmmm!)

Ni barua ngapi nimeandika kwa njia mziki.
Na nyimbo ngapi nimeandika zisizo za riziki.
(repeat 2 times)

( chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
Nikikuita daddiii…
(repeat 2 times)

Nikufunga nikafunga ila siri sitaki wajue,
samahani nikaomba magoti nisikuzungue.

( Chorus! )

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita dadiii…
( repeat 2 times)
( oooh! )

Barua yangu ya mapenzi nimeona niimbe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike.
( repeat 2 times )

( chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddiii…
( repeat 2 times )

Oooh! Kama mapenzi, msalabani ulifanya zaidi.
Naaa! Kama kipaji, kwa burudani umekuwa nami.
( repeat 2 times )
( Baba eeeh! )

kuna wengi mjini wanadai mapenzi, kumbe walaghai.
Wana— badili kama kinyonga, kamwe hawafai.

( Chorus! )
Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddiii…
( repeat 2 times )
( ooh! )

Barua yangu ya mapenzi nimeona niiembe.
Barua yangu ya mapenzi nimeona niandike…
( repeat 2 times )

( chorus )
Nikikuita mpenzi , mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddiii…
( repeat 2 times )

(CHORUS)

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita dadiii…
( repeat 2 times )

(CHORUS)

Nikikuita mpenzi, mpenzi, mpenzi,
nikikuita daddii…
( repeat 4 times )
( oooh! ).


MACHOZI lyrics by Bahati


Ooh Bahati Bahati tena
Maachozi machozi ii, machozi mamaye
Machozi skiza papaye

Vidonda vichungu na fikra ona
vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
hakuna vile ningeficha x2

Maisha yangu ya usali,
kasoro mali
Wapi wangu waniokoe,
napoteza mzazi uchungu wa mwana,
Mbona mola uniondoe x2

Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni,
niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga nililia msee iaa

  (CHORUS)
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Maswali kwa mola,
mbona mimi
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
mbona mimi
oooi oooi oooi oooi
oooi oooi oooi oooi

Nafanya napata gharama,
kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
niliota kupenya
Mziki ilifanya sana napata gharama,
kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
niliota kupenya

Ilikuwa uchungu madungu zangu,
Nilijawa naumia aai
ilikuwa machozi sina hata pozi,
ila tumbo inalia aai x2

  (CHORUS)

Naye ukaniweka chini,
niende wapi mwenzio
Niliangaika kwenda mjini,
mashambani hivo hivo x2

Ukawamu kunionyesha mapenzi,
hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,
ndio ukaniacha x2

Nilikosa hata moyoni,
niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga,
nililia msee aai

Chorus
Nilijawa machozi,
mbona
Maswali kwa mola,
mbona
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchunga,
mbona mimi
mbona mimi, mbona mimi

Si amini ni mimi leo,
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo,
Rabuka hafungi sikio x2


MAMA Lyrics by Bahati


Bahati Bahati Tena Flame
International
Mwanabuja Wee
Mimi Naimbia Mama, Mimi Nasifu Mama, Mama

  (CHORUS)
Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2

Verse1
Nimetu Dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua Hii Fursa Mama
Wacha Nikuambie
Nimetu Dakika keti Chini Nikuambie
Nachukua Hii Fursa
Na Dunia Isikie
Miezi Tisa Ndani Yako
Kunibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako
Ukinitoa Uovu
(Mama)
Miezi Tisa Ndani Yako
Kunibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako
Ukinitoa Uovu

  (CHORUS)

Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2

Verse 3
Uuu Utovu Wa Nidhamu
Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukinipa
Motisha
(Mama)
Utovu Wa Nindhamu
Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipiga
Motisha

Mwanangu Unaweza Lolote
Ukijikaza Utafika Popote
Mwana, Unaweza Lolote
Maono Mengi Ulifanya Niote x2

  (CHORUS)

Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2

Verse 3

Ulinyima Nipate Wee,
Hukutaka Nikose ee
Ulinyima Nipate Wee,
Hukutaka Nikose ee
Ulinyima Nipate
(Mama)
Hukutaka Nikose ee
Hukutaka Nikose ee

  (CHORUS)

Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana ×2

Liii Mama, Nakupenda Mama
Asante Mama RIP Love Yah!!!

MAMBO YABADILIKA lyrics by Hellena Ken


Huu, ni mwaka wa urejesho  x2
Mambo, mambo yabadilika x2
(Repeat)

(CHORUS)
Naona mambo yakibadilika
(Yabidilika kwa wema wako)
(REPEAT)

Mambo, mambo yabadilika  x2
Walio chini sasa, naona wakiinuliwa
Walio nyuma sasa, naona wakiwa mbele
Wanaodharauliwa, naona heshima zao
Wanaolia sasa, machozi yanapanguzwa

Huu ni mwaka wa urejesho x2
Uliyepoteza ndoa, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza watoto, naona wakirejeshwa
Uliyepoteza nyumba, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza kazi, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza cheo, naona kikirejeshwa
Uliyepoteza heshima, naona ikirejea
Kwani mambo yabadilika

(CHORUS)

Majina yaenda kubadilika  x2
Wanaoitwa tasa, naona wakiitwa mama
Wanaodharauliwa, naona heshima zao
Wanaoitwa duni, sasa wainuliwa
Walio pekee yao, waenda pata wachumba
Kwani mambo, mambo yabadilika  x2

Wanaolia sasa, machozi wanapanguza
Waliokataliwa, sasa wakubalika
Wasio na makao, wapata makao yao
Wasio na amani, wapata amani yao
Wasio na furaha, wapata furaha yao
Kwani mambo, mambo yabadilika  x2

(CHORUS)

Jipe jina, tutakuita unapojiita sasa 
Pokea jina jipya, maana majina yabadilika

Refrain: Naitwa mbarikiwa
Tukuite nani nani leo
Jipe jina, jipe jine
Na wewe waitwa nani leo
Baba yangu tukuite nani
Jipe jina, jipe jine

(CHORUS)

Monday, January 11, 2016

HE DID IT AGAIN lyrics by Sinach


Verse 1
It is coming from my heart, 
Praise and thanks unto you lord ,
For all the things that you have done
I'm grateful for your love,
I give you the praise

Verse 2
I'm counting my blessings 
I just cant keep it to myself
When I thought that he had done too much oh,
Jesus did it again..x 2

I can tell it now, oh
Am shouting loud 
From the mountains top x2

(Repeat verse 1 and 2)

Verse 3

I dance and praise the lord x4

I clap and praise the lord x4

I shout and praise the lord x4

And when I thought that he done too much oh, Jesus did it again.

Rejoice and praise the lord x4

And when I thought that he done too much , Jesus did it again ×2

WAY MAKER lyrics by Sinach

You are here, moving in our mist
I worship you ×2
You are here, working in this place
I worship you ×2
Way maker, Miracle worker, promise keeper
Light in the darkness, my God.....
That is who you are ×2

You are here, touching every heart
I worship you ×2
You are here, healing every heart
I worship you ×2
You are here turning, turning lives around
I worship you ×2
You are here, mending every heart
I worship you ×2

Way maker, Miracle worker, promise keeper
Light in the darkness, my God
That is who you are

You are wipe away all tears, you mend the broken heart
You are the answer to it all Jesus...
Way maker, Miracle worker, promise keeper Light in the darkness
My God that is who you are......

You are here touching every live
I worship you ×2
You are here meeting every need
I worship you ×2

SOLDIER lyrics by Mr Vee

Naona mwangaza at the end of the road
Though the walking is tougher, sijafa moyo
Natamani sana future and so am on the goal
I'm never gonna give up, I got to keep hope alive
Eyes on the price lazma nifike and with God by my side lazma nishindee
Uwoouwoo lazima nifike, uwoouwoo lazima nishindee

  (CHORUS)
Kama soldier tuna-tunasonga (songa)
Roho juu ooh guide us papa ×2

A lot of obstacles along the way
I pray to the father take them away and bring smile upon my face
Cause have got a feeling I'll make it someday
Eyes on the price lazma nifike and with God by my side lazma nishindee
Uwouwoo lazima nifike, uwoouwoo lazima nishindee

  (CHORUS)

Sometimes the journey is cut shot along the way
And it's not easy to start over again
I know the journey is not easy, sometimes the roads gots bumpy either way we shall make it
All we've got to do is.......

  (CHORUS)

MAPITO lyrics by Gloria Muliro

Ehhhhhahh Ehhhhahhh
Ehhh
Mimi nashangaa kumbe wakati wa mapito, mambo yote hubadilika (hmm)
Mimi nashangaa kumbe wakati wa mapito, ata rafiki anakutoroka
Mimi nashangaa kumbe wakati wa mapito, hauna wa kukutia moyo
Jamani nashangaa kumbe wakati wa mapito, mambo yote hubadilika (mm)
Hizi miaka zote mpenzi tumekuwa tu vizuri, lakini kuanza jana unabadilika (ooh)
Hutaki kuniona kunikaribia, hutaki mpenzi
Pesa unasema kwamba sinanga pesa
Hizi miaka zote mpenzi, leo ndio umefunguka macho umeona kwamba mimi masikini sinanga pesa
Afadhali uniache jinsi ulivyonipata
Najua ni mapito tu bwana ananishughulikia
Nasema siwezi kumwacha mungu wangu juu yako penzi
Mungu wangu ananishughulikia tu eheh

  (CHORUS)
Uchungu wa mwana ni mzazi aijuaye
Mapito yangu, baba wa mbingu anaona ×2

Jamani wakati wa mapito, mapito wo
Usingojee kupigiwa makofi, bali kupigwa makofi
Jamani wakati wa mapito, usitarajie kutiwa moyo, bali kuvunjwa moyo
Wakati wa mapito, mapito wo usitarajie marafiki bali manafiki kibao ooh
Utakapopata kesho, wengine wao watakurudia aah
Watasema wanakujua, watasema walisimama na wewe ah usiwakemee...
Mungu, mungu ndiye analipa yeee
Uchungu wa mwaanaa....

  (CHORUS)

VIP lyrics by Mr Vee

Shalalala shalalala oh nanananana
Shalalala shalalala oh nanananana
Mungu kachukua muda, taratibu kaniumba hivo
Kwa hivo mimi ni wa maaana, asije mtu akapinga eeeh
Believe me A'mma VIP aaaaaahhhh
Believe me A'mma VIP eeeeeh

  (CHORUS)
Sisi ni waamaana, wooiiooo waamaana
Waamaana woooiiiooo waamaana
Sisi ni waamaana
Sisi ni waamaana VIP

Hata kama mapato yangu ni madogo yoyoo
Madharau haifai hata kidogo yoyooo
Heshima kwa wote wakubwa na wadogo yoyoo
Kwa wote wote maskini pia masonko
Eeeh VIP, sisi wote ni waamaana sana
VIP sisi wote ni waamaana sana
Kila mmoja ana kazi ya kufanya (fanya)
Kulingana na mpango wake mola (mola )
Wanakuona mnyonge mbona, let them know...

  (CHORUS)

Na imagini ni mpango wa mungu mimi na wewe tuwepo
Na imagini akiiumba ulimwengu mawazoni tulikuwepo
Huyo anaona hatufai ni mwongo yoyooo
Huyo...  anaona hatufai ni mwongo yoyoo
Aaaah ni mwongo yoyooo, aaaah

  (CHORUS)

I KNOW WHO I AM Lyrics by Sinach

We are a chosen generation
Called forth to show His excellence
All I require for life God has given me
And I know who I am ×2

I know who God says I am
What he says I am where he says I am I know who I am ×2
I'm walking in power
I'm walking In miracles
I live a life of favour
Cause I know who I am ×2

We are a chosen generation
Called forth to show his excellence
All i require for life God has given me
And I know who I am

Ohhhhhhh oh oh, oh oh oh
I know who I am

I am holy
I am righteous oh....
I am beautiful
I am walking in powe
I am walking in miracles
I live a life of favour
Cause I know who I am

Take a look at me I am wonder
It doesn't matter what you see now
Can you see his glory
Cause I know who I am ×4

Ohhhh oh oh, oh oh oh

Friday, January 8, 2016

WANIFANYA NING'ARE lyrics by Christine Shusho

   Aah damu ya yesu imenifanya ning'are

  (CHORUS)
Umenifanya ning'are ×2 yesuu
Umenifanya ning'are  ×2 yesuu

Wewe waitwa nuru, eti nuru ya watu
Ukiingia kwangu mi nang'araa
Ndani ya hiyo nuru... eti kuna uzima
Ukiingia kwangu nina uzimaa...
Uso wake yesu, aliyesura yake mungu
Umeingia kwangu, mi nang'araa
Nuru wa injili, utukufu wake christo
Umeingia kwangu mi nang'araa

  (CHORUS)

Inuka uangazee, nuru yako imekuja
Utukufu wa bwana umekuzukia wee
Mataifa watakujia, wafalme watakuja
Utukufu wa bwana umekuzukia wee ×2

  (CHORUS)

VANITY lyrics by Daddy Owen

Yote ni bure, yote ni ubatili
       Usinidharau
Namuona na gari kubwa kuliko shida zake
Namuona na wanawake (wanawake)
Alisema hakuna mungu watu wajipange, anadhani ni nguvu zake
Akigonjeka dakitari anatoka ng'ambo
Akiboeka apo utaona mambo, maombi kwake ni kelele
Ndio nimeona nikueleze

  (CHORUS)
Ooh hashtag #Nebucchadnezzar
Sauli pia atakueleza
Nasema hashtag #Nebucchadnezzar
Haijalishi yale umewezaa
Yote ni vanity ooh ooh
Vanity ooh, bila yesu ni vanity
Ooh ooh Vanity

Namuona na sketi fupi kuliko miaka yake
Anataka tumeze mate
Alisema mmoja hawezi zima moto wake
Ana wanaume wanane
Haumpati kanisani ila ile siku ya harambee ya Asusu, Asusu eeh Asusu
Haamini mungu yupo yeye husema atalishwa na matunda ya usupu usupu eeh usupuu

  (CHORUS)

Usimdharau binadamu mwenzio, kuwa eti wewe unapesa, Mali na magari
Haya yote ni ubatili, shukuru mungu kwa uhai
Usijisifu sana na huu mwili, huu mwili ni chakula cha mchwa

Thursday, January 7, 2016

BADO NASIMAMA Lyrics by Kambua

  (CHORUS)
Bado nasimama, bado naendelea
Bado najikaza nifike kulee ×2

Bila neema na rehema zako, ningekuwa wapi mimi
Bila upendo na fadhili zako, maisha yangu yangekuwa bure
Kwa wema wako kanisimamisha na imani yangu ukaiweka salamaa
Kama si wewe mwamba wa wokovu wangu
Nisingeweza ningeangamia

  (CHORUS)

Nainua macho yangu, kwako ewe baba yangu
Msaada wangu utatoka wapi, msaada wangu u katika bwana
Asinzii, anilindae aniachi mimi nitelezee uuuhh
Anipa nguvu na uwezo wake ili mimi nifike kule
Nifike kuleee....

  (CHORUS)

UWEPO lyrics by Mercylinah Wambungu

  (CHORUS)
Uwepo wako nahitaji maishani
Uwepo wako wa dhamana sana
Mimi sitoki hata siendi bila uwepo wako
Bwanaa, bwanaa ×2

Ninapowezwa na magonjwa (Ninaye Jehovah Rapha)
Nikiwa na mahitaji (Ninaye Jehovah Jireh)
Amani ninapoikosa (Ninaye Jehovah Shalom)
Moyo wangu tulia (Tunaye Jehovah Shamah)
Shauku la moyo wangu nipate zaidi yako
Zaidi na zaidi na zaidi

  (CHORUS)

Hakuna cha kuogopa (Nunaye El Olam)
Mungu muumbaji wangu (Ndiye Elohim)
Mchungaji wangu (Ndiye Jehovah Rohi)
Tena msaidizi wangu (Ndiye Jehovah Elyon)

  (CHORUS)

Katika uwepo wako;
Kuna uponyaji, twawekwa huru, kuna amani tena furaha, kuna ushindi, msamaha, twatiwa nguvu

  (CHORUS)

WEWE PEKEE Lyrics by Alice Kamande

Kufungua kinywa changu, nikusifu baba
Makuu umenitendea, nimefika sasa apa
Wewe kweli ni rafiki, unaniongoza ninapopotea
Upendo wako ni ufananishe na nani babaa

  (CHORUS)
Tabu nyingi kweli nlipitia (hadi nikajipata nikikushukuru)
Sikujua mpango wako kwangu (babaa)
Ulijua yote nikiyapitia mkono wako ulikuwa umenishikilia nisianguke ewee wewee kimbilio langu
Hakuna mwingine ni wewe pekee yako
Mbele ata nyuma, ni wewe pekee ×2

Tafuta tafuta utampata kama yeye alinitoa toka tope la dhambi
Kamwe sitaona aya ya kumsifu mungu wangu

  (CHORUS)

Monday, January 4, 2016

NIKUPENDEZE

Mienedo yangu na tabia zangu zikupendeze
Kuvaa kwangu na kunena kwangu kukupendeze ×2
Nifanane na wewe yesu
Niwe jinsi upendavyo
Niguze nifinyange, unibebe
Niunde nitengeneze, niwe kama wewe

  (CHORUS)
#Nikupendeze, Nikupendeze

Familia yangu, marafiki zangu tuwe sawa na wewe
Biashara zangu, kila kitu changu kiwe sawa na wee ×2
Niguze nifinyange unibebee
Niunde nitengeneze niwe kama wewe

  (CHORUS)

Nifanane na wewe yesu
Niwe jinsi upendavyo
Niguze nifinyange unibebe
Niunde nitengeneze niwe kama wewe

  (CHORUS)

ULIBEBA Lyrics by Eunice Njeri

  (CHORUS)
Uliibeba yote, uliibeba yote
Ulisema yote yamekwisha
Ulibeba yote

Ulidharauliwa na kukataliwa
Mtu wa huzuni mingi, aijuaye mateso
Wanadamu tulikufichia uso, kukuona bure
Ata hivo udhaifu wetu, uzuni zetu ulichukua yesu
Mijeledi kuchipuliwa na makosa maovu yetu
Adhabu kubwa ili sisi tupate amani
Kwa majeraha yesu sote tumepona
Asante yesu kwa neema na wokovu wako

  (CHORUS)

Kuwa nao na ata kuteswa bila wewe yesu
Hukusema chochote baba
Kuongozwa kama kondoo kwenye kichinjio
Ulinyamaza kimia baba ata hivo kukataliwa na wote walio uhai
Kufanyiwa kaburi yesu pamoja na waovu
Mapenzi yake bwana kuwa wewe uteseke maisha yako yesu sadaka ya hatia yangu eeeh

  (CHORUS)

Uliamini na maisha yako, hadi mauti kuhesabiwa pamoja nasisi wakosaji dhambi za wengi ulizichukua, kutuombea sisi wenye makosa
Ingawa usawa na mungu, kukuona kama kitu
Chakushika na macho ni sawa na mtumwa kunyenyekea hadi mauti
Mauti ya msalaba kuokoa mataifa yote eeeh

  (CHORUS)

Ona sasa mimi nashukuru, nafurahia
Sina deni mie, sasa niko huru
Hakuna deni tena yesu ashalipa

UNATOSHA Lyrics by Eunice Njeri

Nimeubeba msalaba wangu, nikufuate wewe uliyenipenda
Nimeitua mizingo yangu kwako, nakufwata wewe unayenipenda ×2

  (CHORUS)
Bwana unatosha
Wanitoshaa... mungu wa agano
Wewe wanitosha ×2

Nasalimu amri yako eeeh baba
Sauti yako nimeisikia
Umenivuta bwana karibu na wewe
Karibu zaidi natamani niwe ×2

  (CHORUS)

Moyo wangu usawa sioni ovu
Wanitosheleza wanitosha...
Mwingine mie sina, wewe wanitosha
Wanitoshaaa wanitoshaa...

  (CHORUS)

NIACHE NIIMBE Lyrics by pitson

Siku moja mama nitakujengea nyumba ya kifahari
Uishi poa mama na pesa za mziki
Siku moja baba nitakununulia gari la kifahari
Uendeshe baba na mziki
Siku moja dada nitakulipia karo ya shule
Uende university na pesa za mziki
Siku moja brother nitakufungulia biashara kubwa
Uwe sonko brother na pesa za mziki

  (CHORUS)
Ikiwa nitakuwa rubani, niendeshe ndege
Niwe rubani, rubani anaimba
Ikiwa nitakuwa karani, karani wa benki
Niwe karani, karani anaimba
Ikiwa nitakuwa waziri, waziri wa serikali
Niwe waziri, waziri anaimba
Oooh popote niendapo, chochote nifanyacho
Yeyote nitakuwa niwe naimba
Mama na baba naomba mniache niimbe
    #Niache niimbe
Shule nitaenda lakini mniache niimbe
Kazi nitafanya lakini mniache niimbe
Mimi naahidi kuwa nitaimba nyimbo za injili

Mungu ni mwaminifu ×4
Hakuna anaweza sema hajapewa kitu cha kufanya
Mungu ni mwaminifu
Wengine wanauza nguo gikosh
Wengine wanashona, wengine wamekonda wanakimbia
Ma-bouncer wameshona
Wengine ma odijo -polisi -CEO-
Ma hustler

  (CHORUS)