Showing posts with label MACHOZI Lyrics by Bahati. Show all posts
Showing posts with label MACHOZI Lyrics by Bahati. Show all posts

Wednesday, July 13, 2016

MACHOZI lyrics by Bahati

Ooh Bahati Bahati tena

Maachozi machozi ii, machozi mamaye Machozi skiza papaye

Vidonda vichungu na fikra ona vile niliumia
Machozi machungu nafuta mbona hakuna vile ningeficha ×2

Maisha yangu ya uswazi kasoro mali Wapi wangu waniokoe, nampoteza mzazi uchungu wa mwana
Mbona mola uniondoe ×2

Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni, niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga nililia msee iaa

 
  (CHORUS)
Nilijawa machozi, mbona mimi
Maswali kwa mola, mbona mimi
Nilijawa machozi, mbona mimi
Mbona dunia uchungu, mbona mimi ×2
oooi oooi oooi oooi oooi oooi oooi ooooh

Nafanya napata gharama, kuwa inakera Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
Mziki ilifanya sana napata gharama, kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu, niliota kupenya

Ilikuwa uchungu madungu zangu, Nilijawa naumia aai
ilikuwa machozi sina hata pozi, ila tumbo inalia aai ×2

  (CHORUS)
Nilijawa machozi, mbona mimi
Maswali kuwa mola, mbona mimi Nilijawa machozi, mbona mimi
Mbona dunia uchungu, mbona mimi ×2

oooi oooi oooi oooi oooi oooi oooi oooi

Ulofa nayo ukaniweka chini, niende wapi mwenzio
Niliangaika kuishi mjini, mashambani hivo hivo ×2

Ukawamu kunionyesha mapenzi, hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi, ndio ukaniacha ×2

Nilikosa hata moyoni, niliumia sana Maskini kusema hawachoki kuchonga, nililia msee aai

  (CHORUS)
Nilijawa machozi, mbona
Maswali kwa mola, mbona
Nilijawa machozi, mbona mimi
Mbona dunia uchunga, mbona mimi mbona mimi, mbona mimi

Si amini ni mimi leo,
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo, Rabuka hafungi sikio ×2

Wednesday, January 13, 2016

MACHOZI lyrics by Bahati


Ooh Bahati Bahati tena
Maachozi machozi ii, machozi mamaye
Machozi skiza papaye

Vidonda vichungu na fikra ona
vile niliumia
Machozi machungu nakuta mbona
hakuna vile ningeficha x2

Maisha yangu ya usali,
kasoro mali
Wapi wangu waniokoe,
napoteza mzazi uchungu wa mwana,
Mbona mola uniondoe x2

Nilikosa hata moyo kuchonga moyoni,
niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga nililia msee iaa

  (CHORUS)
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Maswali kwa mola,
mbona mimi
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchungu,
mbona mimi
oooi oooi oooi oooi
oooi oooi oooi oooi

Nafanya napata gharama,
kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
niliota kupenya
Mziki ilifanya sana napata gharama,
kuwa inakera
Bidii nikaweka nikaangua pa tupu,
niliota kupenya

Ilikuwa uchungu madungu zangu,
Nilijawa naumia aai
ilikuwa machozi sina hata pozi,
ila tumbo inalia aai x2

  (CHORUS)

Naye ukaniweka chini,
niende wapi mwenzio
Niliangaika kwenda mjini,
mashambani hivo hivo x2

Ukawamu kunionyesha mapenzi,
hapo siku ya kwanza
Maulana kwangu ukakuwa mpenzi,
ndio ukaniacha x2

Nilikosa hata moyoni,
niliumia sana
Maskini kusema hawachoki kuchonga,
nililia msee aai

Chorus
Nilijawa machozi,
mbona
Maswali kwa mola,
mbona
Nilijawa machozi,
mbona mimi
Mbona dunia uchunga,
mbona mimi
mbona mimi, mbona mimi

Si amini ni mimi leo,
Maulana hayali mbivu oooh
Si amini ni mimi leo,
Rabuka hafungi sikio x2