Showing posts with label MAMA Lyrics by Bahati. Show all posts
Showing posts with label MAMA Lyrics by Bahati. Show all posts

Wednesday, July 13, 2016

MAMA lyrics by Bahati


Bahati Bahati Tena Flame International
Mwanabuja Wee

Mi Naimbia Mama, Mi Nasifu Mama, Mama

  (CHORUS)
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana

Nipe tu dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua hii fursa Mama Wacha Nikuimbie
Nipe tu dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua hii fursa Na Dunia Isikie
Miezi Tisa Ndani Yako Kanibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako Ukinitoa Uovu
(Mama)
Miezi Tisa Ndani Yako Kanibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako Ukinitoa Uovu

  (CHORUS)
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana

Uuu Utovu Wa Nidhamu Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipa Motisha
(Mama)
Utovu Wa Nidhamu Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipa Motisha
Mwanangu Unaweza Lolote Ukijikaza utafika popote
Mwana, Unaweza Lolote Maono Mengi Ulifanya Niote
Mwanangu Unaweza Lolote Ukijikaza utafika popote
Mwana Unaweza Lolote Maono Mengi Ulifanya Niote

  (CHORUS)
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana

Ulijinyima Nipate Wee, Hukutaka Nikose ee
Ulijinyima Nipate Wee, Hukutaka Nikose ee
Ulijinyima Nipate (Mama), Hukutaka Nikose ee
Ulijinyima Nipate (Mama), Hukutaka Nikose

  (CHORUS)
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana
Maana Kubwa Kwangu Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki Kutoka Kwa Maaulana

Iiii Mama , Nakupenda Mama

Asante Mama RIP Love Yah!!

Wednesday, January 13, 2016

MAMA Lyrics by Bahati


Bahati Bahati Tena Flame
International
Mwanabuja Wee
Mimi Naimbia Mama, Mimi Nasifu Mama, Mama

  (CHORUS)
Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2

Verse1
Nimetu Dakika Keti Chini Nikuambie
Nachukua Hii Fursa Mama
Wacha Nikuambie
Nimetu Dakika keti Chini Nikuambie
Nachukua Hii Fursa
Na Dunia Isikie
Miezi Tisa Ndani Yako
Kunibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako
Ukinitoa Uovu
(Mama)
Miezi Tisa Ndani Yako
Kunibeba Uchovu
Na Miaka Tisa Kando Yako
Ukinitoa Uovu

  (CHORUS)

Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2

Verse 3
Uuu Utovu Wa Nidhamu
Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukinipa
Motisha
(Mama)
Utovu Wa Nindhamu
Ndani Yangu Ukaupiga
Na Ndoto Za Utotoni Ukanipiga
Motisha

Mwanangu Unaweza Lolote
Ukijikaza Utafika Popote
Mwana, Unaweza Lolote
Maono Mengi Ulifanya Niote x2

  (CHORUS)

Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana x2

Verse 3

Ulinyima Nipate Wee,
Hukutaka Nikose ee
Ulinyima Nipate Wee,
Hukutaka Nikose ee
Ulinyima Nipate
(Mama)
Hukutaka Nikose ee
Hukutaka Nikose ee

  (CHORUS)

Maana Kubwa Kwangu
Mummy Ndio Nakuimbia Mama
Zawadi Nono Kwangu Haki
Kutokana Kwa Maulana ×2

Liii Mama, Nakupenda Mama
Asante Mama RIP Love Yah!!!