Showing posts with label WEWE PEKEE Lyrics by Alice Kamande. Show all posts
Showing posts with label WEWE PEKEE Lyrics by Alice Kamande. Show all posts

Wednesday, July 13, 2016

WEWE PEKEE lyrics by Alice Kamande

nafungua kinywa changu
nikusifu Baba
Mkuu umenitendea
nimefika sasa hapa
wewe kweli ni rafiki
unaniongoza ninapopotea
upendo wako niufananishe na nani
Baba

taabu nyingi kweli nilipitia(hadi nikajipata nikikushuku)
sikujua mpango wako kwangu(Baba)
ulijua yote nikiyapitia
mkono wako ulikuwa umenishikilia
nisianguke
wewe kimbilio langu

  (CHORUS)
hakuna mwingine
ni wewe pekee yako
mbele hata nyuma
ni wewe pekee

hakuna mwingine
ni wewe pekee yako
mbele hata nyuma
ni wewe pekee


tafuta tafuta
hutampata kama yeye
alinitoa toka tope
la dhambi
kama sitaona haya
ya kumsifu Mungu wangu
siku zote nitamwimbia
Baba

taabu nyingi kweli nilipitia(hadi nikajipata nikikushuku)
sikujua mpango wako kwangu(Baba)
ulijua yote nikiyapitia
mkono wako ulikuwa umenishikilia
nisianguke
wewe kimbilio langu

  (CHORUS)
hakuna mwingine
ni wewe pekee yako
mbele hata nyuma
ni wewe pekee

hakuna mwingine
ni wewe pekee yako
mbele hata nyuma
ni wewe pekee

Thursday, January 7, 2016

WEWE PEKEE Lyrics by Alice Kamande

Kufungua kinywa changu, nikusifu baba
Makuu umenitendea, nimefika sasa apa
Wewe kweli ni rafiki, unaniongoza ninapopotea
Upendo wako ni ufananishe na nani babaa

  (CHORUS)
Tabu nyingi kweli nlipitia (hadi nikajipata nikikushukuru)
Sikujua mpango wako kwangu (babaa)
Ulijua yote nikiyapitia mkono wako ulikuwa umenishikilia nisianguke ewee wewee kimbilio langu
Hakuna mwingine ni wewe pekee yako
Mbele ata nyuma, ni wewe pekee ×2

Tafuta tafuta utampata kama yeye alinitoa toka tope la dhambi
Kamwe sitaona aya ya kumsifu mungu wangu

  (CHORUS)