Tuesday, July 12, 2016

MAMBO SAWA lyrics by Eunice Njeri

  (CHORUS)
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa

I hear the voice of a mama cry
nisaidie
I hear the voice of a baby cry
nani atanisaidia
naona wingu kama mkono wa mtu
naona wingu, itanyesha tena
itanyesha tena

  (CHORUS)
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa

Nalia hee...
nalia oooh...
kama ni uhai, naona mimi nitangulie
niende nyumbani, hii njaa inanimaliza
watoto wangu, mume wangu
amani yangu yote imeisha lakini najua
yote yako sawa

  (CHORUS)
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa

Mambo sawa, yote sawa
tuko sawa, sote sawa
Mambo sawa, yote sawa
tuko sawa, sote sawa

  (CHORUS)
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa
Mambo sawa mambo sawa sawa
Mungu Yuko enzini tuko sawa

No comments:

Post a Comment