Sunday, July 17, 2016

NIKO NA REASON lyrics by Eko Dydda ft Holy Dave

Eko Didah Holy Dave
leo ni holiday
amka u-show hawa wasee kuna reason

Chorus
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku
clap
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku
snap
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku-put hands up
just... clap
just... snap
hands up
niko blessed nimebarikiwa

Verse 1
nakumbuka kitambo
ndio tukunywe soda
labda party Christmas
tukule mchele dodo labda Hare Krishna
lakini saa hii naeza kula chenye na-wish man
nikitaka naweza kula mchele na kichwa
ya fish hakuna kitu ngumu kwa Je...
sus anaweza kutuona He can see... 
us kama aliokoa wanaume 10...
k anaweza okoa wanaume TM...
K na TO...
K, waseme
its OK 
its OK
devil nitoke
nitoke
anaweza okoa hata Mwana F...
A awe mtoto wetu
umwana we...
fwe in Christ
ambia devo
bado nipo nipo kwanza
sioi before 
nibadilishe people Mwanza

Chorus
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku
clap
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku
snap
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku-put hands up
just... clap
just... snap
hands up
niko blessed nimebarikiwa

Verse 2
skiza flow mbichi ya ma-punchline na ma-pose
so soothing naeza fanya mtoto adoze
ni HD, 
na Eko Di...
Dah tuna sta... 
gger tuki-sta...
mmer, niko na reason ya ku-smile ka Wako
I woke up na meno bado ziko
niko na reason ya ku-bounce na swagger
zikikam zimekam I guess hauwezi ficha
I chose hiphop, they said I was crazy
now they singing my songs like karaoke
nilijua kuna God wa ajabu
the underdogs wana-shine ka Ababu
na Mwamba
ameshuka
nimebarikiwa nimeonekaniwa
Afrika stand up rise and shine
this is, this is, this is
two thousand and mine

Chorus
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku
clap
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku
snap
niko na niko na
niko niko na niko na
niko niko na reason ya ku-put hands up
just... clap
just... snap
hands up
niko blessed nimebarikiwa

No comments:

Post a Comment