Wednesday, July 6, 2016

NICHUKUE lyrics by Semeiyan

Nichukue, nitengeneze
Niwe chombo chako Bwana
Nichukue, nifinyange
Niwe chombo cha heshima

Hili ni ombi baba naomba, nimekosa Baba eeh,
Makosa yangu hayahesabiki, sistahili Baba mbele zako,
Na sasa Baba naja
Hili ni ombi baba naomba, nimekosa Baba eeh,
Makosa yangu hayahesabiki, sistahili Baba mbele zako,
Na sasa Baba naja

Nichukue, nitengeneze
Niwe chombo chako Bwana
Nichukue, nifinyange
Niwe chombo cha heshima

Kama vile Daudi aliomba, maombi yake Ukayasikia,
Kama vile Paulo na Silah, waliomba Baba eeh
Nakuomba Baba nisikie
Kama vile Daudi aliomba, maombi yake Ukayasikia,
Kama vile Paulo na Silah, waliomba Baba eeh
Nakuomba Baba nisikie

Nichukue, nitengeneze
Niwe chombo chako Bwana
Nichukue, nifinyange
Niwe chombo cha heshima ×2

Moyo wangu wakutamani, njia zako kuzifuata
Nitakase nikupendeze, Wewe ndiwe uhai wangu
Damu yako Baba yanitosha
Moyo wangu wakutamani, njia zako kuzifuata
Nitakase nikupendeze, Wewe ndiwe uhai wangu
Damu yako Baba yanitosha

Nichukue, nitengeneze
Niwe chombo chako Bwana
Nichukue, nifinyange
Niwe chombo cha heshima

Nichukue, nitengeneze
Niwe chombo chako Bwana
Nichukue, nifinyange
Niwe chombo cha heshima

No comments:

Post a Comment