Sunday, July 17, 2016

SIR lyrics by Eko Dydda

Nimetembea Sijaona One Like You x2

Verse 1

After Kuborn Again Niliacha Dhambi Most Kwa Placenta

Nikapatia The Most High Center Akanifinya Pause Plus Enter, Im Free In Deed

Hata Kama Kuna Watu Soo Cold, Kama Stephen Wanaweza ni Stone Cold

Steve Austin Ndani Ya Yesu I Will Still Boast In

Si Hitaji Forest Amenipa Timber Land, I am Happy Kukujua Hata Kama Si Na Land

Junajua who My Christ Is , Siogopi Any Hata Crisis

So Hakuna Mwenye Anaeza Sema Nishut up Nishaimba Hiyo Story Buda Nisha Rap

Juu Kama Abraham Our Dad Is Terrah Naka hukufahamu aa that is Error

Chorus

Nimetembea Sijaona One Like You

Popote Naenda Sijaona One Like You

Nimetafuta Sijaona One Like, Yeeeah Jesus

Acha Nikuite Sir , Acha Nikuite Sir, Acha Nikuite Sir

You’re Always On My Mind , My Mind , My Mind

Verse 2

Hauwezi Stop Time Hata Uwe Na Bonge La Watch

Ndio Maana Nime Shhh.. Nisibonge Na Watch

He’s One In A Million Alishikilia Jua Uliza Gideon

Zote Alipita Temptation, Kwa Maji Akafanya Peter Atembee Jo!!

Sitegemei Pocha Nakula Wokovu,

Siwezi Kuwa Poacher Amenipa Ndovu

Kama Wochi Nita Stand Out, Ka Meno Ya Warthog Stand Out!!

Kuja Church Utapata Niko Bass, Kama Boy Amebreak Voice Niko Base

Na Apply Word Yako Kama Vaseline, Siwezi Kuparara Nina Verse Daily

Nina Good News Kwa New Testament ,Si Lazima Nione News Ati By Telly,

Mbele Nyuma Una Soo Tatu , Usijali Huja Sota Tuu!! Najua GOD Anasort Watu,

I Cant Give Up

Son Of The Most High Mini Donga, Blood Group Ni O Simi ni Donor

If I Came This Far I Cant Give Up!!

Chorus

No comments:

Post a Comment