Thursday, January 7, 2016

WEWE PEKEE Lyrics by Alice Kamande

Kufungua kinywa changu, nikusifu baba
Makuu umenitendea, nimefika sasa apa
Wewe kweli ni rafiki, unaniongoza ninapopotea
Upendo wako ni ufananishe na nani babaa

  (CHORUS)
Tabu nyingi kweli nlipitia (hadi nikajipata nikikushukuru)
Sikujua mpango wako kwangu (babaa)
Ulijua yote nikiyapitia mkono wako ulikuwa umenishikilia nisianguke ewee wewee kimbilio langu
Hakuna mwingine ni wewe pekee yako
Mbele ata nyuma, ni wewe pekee ×2

Tafuta tafuta utampata kama yeye alinitoa toka tope la dhambi
Kamwe sitaona aya ya kumsifu mungu wangu

  (CHORUS)

No comments:

Post a Comment