Monday, January 4, 2016

UNATOSHA Lyrics by Eunice Njeri

Nimeubeba msalaba wangu, nikufuate wewe uliyenipenda
Nimeitua mizingo yangu kwako, nakufwata wewe unayenipenda ×2

  (CHORUS)
Bwana unatosha
Wanitoshaa... mungu wa agano
Wewe wanitosha ×2

Nasalimu amri yako eeeh baba
Sauti yako nimeisikia
Umenivuta bwana karibu na wewe
Karibu zaidi natamani niwe ×2

  (CHORUS)

Moyo wangu usawa sioni ovu
Wanitosheleza wanitosha...
Mwingine mie sina, wewe wanitosha
Wanitoshaaa wanitoshaa...

  (CHORUS)

No comments:

Post a Comment