Monday, January 4, 2016

NIACHE NIIMBE Lyrics by pitson

Siku moja mama nitakujengea nyumba ya kifahari
Uishi poa mama na pesa za mziki
Siku moja baba nitakununulia gari la kifahari
Uendeshe baba na mziki
Siku moja dada nitakulipia karo ya shule
Uende university na pesa za mziki
Siku moja brother nitakufungulia biashara kubwa
Uwe sonko brother na pesa za mziki

  (CHORUS)
Ikiwa nitakuwa rubani, niendeshe ndege
Niwe rubani, rubani anaimba
Ikiwa nitakuwa karani, karani wa benki
Niwe karani, karani anaimba
Ikiwa nitakuwa waziri, waziri wa serikali
Niwe waziri, waziri anaimba
Oooh popote niendapo, chochote nifanyacho
Yeyote nitakuwa niwe naimba
Mama na baba naomba mniache niimbe
    #Niache niimbe
Shule nitaenda lakini mniache niimbe
Kazi nitafanya lakini mniache niimbe
Mimi naahidi kuwa nitaimba nyimbo za injili

Mungu ni mwaminifu ×4
Hakuna anaweza sema hajapewa kitu cha kufanya
Mungu ni mwaminifu
Wengine wanauza nguo gikosh
Wengine wanashona, wengine wamekonda wanakimbia
Ma-bouncer wameshona
Wengine ma odijo -polisi -CEO-
Ma hustler

  (CHORUS)

No comments:

Post a Comment