Monday, January 25, 2016

ONGOZA HATUA ZANGU lyrics by Christina shusho

Hatua za mwenye haki, za ongozwa naye bwana
Na bwana hufurahia njia zake wakati wote ×2

Nakukabidhi bwana, njia zangu zote pia nakutumaini najua bwana utafanya
Ata nijapo jikwaa, sitaanguka chini Bwana utanishika mkono na kunitengeneza ×2

Umwangazie mtumishi wako, uso wako
Maana ninayatamani, maagizo yako
Elekeza hatua zangu, kwa neno lako
Uovu usije ukanimiliki ×2

Eeh bwana naomba
Ongoza hatua zangu eeh bwana
Eeh bwana ongoza mwendo wangu
Eeh bwana eeh bwana ×9

2 comments:

  1. What a nice and touching song. I just love it .God bless you Mama Christy

    ReplyDelete
  2. Maisha Bila mwongozo wa Mungu ni bure kabisa...wimbo mzuri kabisa👍

    ReplyDelete