Monday, January 4, 2016

ULIBEBA Lyrics by Eunice Njeri

  (CHORUS)
Uliibeba yote, uliibeba yote
Ulisema yote yamekwisha
Ulibeba yote

Ulidharauliwa na kukataliwa
Mtu wa huzuni mingi, aijuaye mateso
Wanadamu tulikufichia uso, kukuona bure
Ata hivo udhaifu wetu, uzuni zetu ulichukua yesu
Mijeledi kuchipuliwa na makosa maovu yetu
Adhabu kubwa ili sisi tupate amani
Kwa majeraha yesu sote tumepona
Asante yesu kwa neema na wokovu wako

  (CHORUS)

Kuwa nao na ata kuteswa bila wewe yesu
Hukusema chochote baba
Kuongozwa kama kondoo kwenye kichinjio
Ulinyamaza kimia baba ata hivo kukataliwa na wote walio uhai
Kufanyiwa kaburi yesu pamoja na waovu
Mapenzi yake bwana kuwa wewe uteseke maisha yako yesu sadaka ya hatia yangu eeeh

  (CHORUS)

Uliamini na maisha yako, hadi mauti kuhesabiwa pamoja nasisi wakosaji dhambi za wengi ulizichukua, kutuombea sisi wenye makosa
Ingawa usawa na mungu, kukuona kama kitu
Chakushika na macho ni sawa na mtumwa kunyenyekea hadi mauti
Mauti ya msalaba kuokoa mataifa yote eeeh

  (CHORUS)

Ona sasa mimi nashukuru, nafurahia
Sina deni mie, sasa niko huru
Hakuna deni tena yesu ashalipa

No comments:

Post a Comment