Tuesday, April 12, 2016

TAM TAM lyrics by Willy Paul ft size 8

Oooh nalemba aliye Mungu wa hawa
Aliye Mungy wa Dj Mo
Dj Mo umempa ni wake number nane size 8
Crowbar ukampa ni wake na na Joy
Gloria Muliro ukampa ni wake eeh pastor Omba
Soxxy ukampa ni wake akamficha eeh
Dj Moz ukampa eeh mzungu aeeh
Na me nashindwa wangu Willy ni nani
Ama mbukusu, mbukusu aaah
Sijui kama yellow ama brown skin, number nane nieleze kweli nimeshindwa

  (CHORUS)
Unataka mke mwema aaah
Ni nani atanipa
Oooh unataka mke mwemaa... ooh ni mungu atakupa
Nafahamu mapenzi kitamtam tam tena saana (tamu tena sana)
Hakuna fahamu mapenzi kitamu
Kitamuu...  aaah, kitamu sio utani aaah
Kitamuu... aaah, kitamu sio utani aah
Tamtam tamtam, tamtam tamtam
Tamtam tamtam, tamtam tamtam

Size 8
Juzi likuona na kabintiye, hakunipendeza
Vazi lake no! Noo Willy no!!
Nieleze siri ya mapenzi dada
Nieleze siri ya mapenzi number nane
Ooh Willy wewe Willy, usitafte wawili
Muombe mwenyezi, usijitie kitanzi
Ooh ukisahau mwenyezi, itajipiga mateke eeeeh utajipiga mateke

  (CHORUS)

Kweli nimekubali Jehovah ndiye wakupeana mke mwema aaah
Emmy naye mnaija
Uhuru naye Magy Magy
Raila naye Ida Ida
Kalonzo musyoka hatujui
Bishop kiuna Cathy
Pastor Lai mwita
Na mimi naye wangu ni nani..

  (CHORUS)

No comments:

Post a Comment