Monday, January 25, 2016

BWANA UMENICHUNGUZA lyrics by Christina shusho

Eeh bwana umenichunguza na kunijua
Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwaangu
Umelifahamua wazo langu, tokea mbali..
Umepepeta kwenda kwangu, na kulala kwaangu
Umeelewaa na njia zaangu zoote eeeh ×2

Maana hamna neno lingine mwamgu, usilojua kabisa bwana
Umenizingira nyuma na mbele, ukaniwekea mkono wako
Maarifa hayo ni ya ajabu, yanishinda mi- mimi
Hayadhirikiki siwezi kuyafikia ×2

Niende wapi nijiepushe na roho yako
Niende wapi niukimbie uso wako ooh
Kama ningepanda mbiguni, wewe uko ooh
Ningefanya kuzimu,giza na uko nako uko ooh
Kama nikisema litagiza litanifunikaa, giza nalo haliko lifichi kitu
Giza na mwanga kwako ni sawa sawaa

Eeh mungu unichunguze, ujue moyo wangu eeh mungu
Unijaribu uyajue mawazo yangu eeh mungu eeh mungu
Uone kama niko njia iletayo, majuto ndani yangu eeh mungu
Ukaniongoze katika njia ya haki milele
Maana wewe ndiwe uliyeniumba, mtima wangu eeh mungu
Macho yako yaliniona kabla sijakamilika eeh mungu
Nimekuita uisikie sauti yangu eeh mungu
Eeh mungu unichunguze ujue moyo wangu eeh mungu
Unijaribu uyajue mawazo yangu eeh mungu eeh mungu

Maneno ya kinywa changu na mawazo ya moyo
Yapate kibali  mbele zako eeh mungu eeh mungu ×3

ONGOZA HATUA ZANGU lyrics by Christina shusho

Hatua za mwenye haki, za ongozwa naye bwana
Na bwana hufurahia njia zake wakati wote ×2

Nakukabidhi bwana, njia zangu zote pia nakutumaini najua bwana utafanya
Ata nijapo jikwaa, sitaanguka chini Bwana utanishika mkono na kunitengeneza ×2

Umwangazie mtumishi wako, uso wako
Maana ninayatamani, maagizo yako
Elekeza hatua zangu, kwa neno lako
Uovu usije ukanimiliki ×2

Eeh bwana naomba
Ongoza hatua zangu eeh bwana
Eeh bwana ongoza mwendo wangu
Eeh bwana eeh bwana ×9

USHIRIKA NA ROHO lyrics by Christina shusho

  (CHORUS)
Mimi nataka ushirika na wee ewe roho
Mimi nataka ushirika na wee roho ×5

Nimekubali habari hizi, ya kuwa wewe ni muungu roho nataka ushirika na wee
Ulikuwepo tokea mwanzo, ulishiriki kuniumba roho eeh roho wee nataka ushirika na wee
Nakuhutaji maishani, unihifadhi moyo wangu roho eeh roho wee nataka ushirika na wee

  (CHORUS)

Wayachukua maombi yetu,watuombea kwa kuwa roho eeh roho wee nataka ushirika na wee
Ukiwa nasi, twatiwa nguvu twatenda kazi kwa ujasiri roho eeh roho wee nataka ushirika na wee
Uyatawale maisha yangu, sitaogopa ukiwa nami roho eeh roho wee nataka ushirika na wee

  (CHORUS)

Wewe mungu uliye hai, tena roho wa kweli, wewe kiongozi nataka ushirika na wee
Wewe mafuta ya shangwee, tena arabu ni yetu roho wa milele nataka ushirika na wee
Wewe roho msaidizi, tena mshauri wetu wewe kidole cha mungu nataka ushirika na wee

  (CHORUS)

WAKUABUDIWA lyrics by Christina Shusho

  (CHORUS)
Wakuabudiwa, wakuheshimiwa ni wewe mungu
Wakupewa sifa, na utukufu ni wewe mungu
Mungu mwenye nguvu, wastahili heshima zote
Hakuna mwingine, wakulinganishwa na wewe mungu ×2

Umesema wewe, jina lako liko na liko niwe mungu
Unafanya mambo, yaliyo juu ya fahamu zetu mungu
Ukisema ndio, nani awezaye kupinga hakuna
Wewe unatupa, kushinda na zaidi ya kushinda
Unatupandisha,utukufu hadi utukufu mungu ×2

  (CHORUS)

Uzima wetu, uko miikononi mwako mungu
Unawapa nguvu, wanyonge na wadhaifu mungu
Unawanyeshea mvua wema nao waovu mungu
Mwanadamu nani, wakulinganishwa na wewe mungu
Nani mwenye nguvu, wa kusimama mbele yako mungu ×2

  (CHORUS)

Bwana utukufu wako singuse, mbali utukufu ukurudie wewe mungu wangu

Thursday, January 21, 2016

WAWEZA lyrics by Evelyn Wanjiru

  (CHORUS)
Waweza waweza waweza mwokozi
Waweza mambo yote wewe mwaminifu ×2

Bwana mungu wangu, umenikomboa
Umeniwezesha mimi wewe ni mkuu
Ukaniita kwa jina langu eeeh, ukaniwezesha bwana wee nikuabudu bwana nikuimbie
Nilipokuwa kwenye dhambi, ukanionyesha mwanga, wewe ni mwanga wangu bwana wewe ni mkuu

  (CHORUS)

Bwana mungu wangu eeh wewe ulimsaidia Ayubu, alipokuwa na shida nyingi Bwana ulikuwa naye
Neno lako linasema, unazo fedha zote ni zako bwana wewe ni muweza

  (CHORUS)

Wakati ninazo shida na magonjwa, bwana unasema tuliite jina lako
Na we ndiye muweza,wewe ndiye mwenye nguvu
Wewe ni kimbilio baba, waweza mambo yote

  (CHORUS)

Unaweza, unaweza, unaweza baba unaweza ×5

TUNAKUABUDU lyrics by Evelyn Wanjiru

  (CHORUS)
Tunakuabudu
tunakuabudu
tunakuabudu
Mwenye enzi ×2

Tunainama mbele zako tukikusujudu maana wewe ni mtakatifu wa watakatifu

  (CHORUS)

Tunanyenyeke mbele zako nikisema wewe ni mtakatifu wa watakatifu ninakusujudu baba

  (CHORUS)

Uko hapa bwana yesu uko hapa bwana yesu ×2
Mwana wa mungu simba wa yuda, umetawala uko apa

Oooh imbia yesu anayenipigania
Oooh imbia yesu anayenipigania ×3

NIKUFAHAMU lyrics by Evelyn Wanjiru

  (CHORUS)
Nikufahamu zaidi bwaaana, nikujue zaidi yesu
Nikufahamu zaidi Yahweh, nikuishie milele bwanaa ×2

Nataka nitembee na wewe wakati wote
Nitembee kwa nuru yako baba eeh
Nishirikiane na  wewe eeh kwa kila jambo ongoza hatua zangu, ewe baba,ongoza hatua zangu ewe baba

  (CHORUS)

Wewe ni mume wa wajane, baba wa yatima mfariji wa waliofiwa
Mtetezi wa wanyonge, unaponya waliovunjwa mioyo
Nakuzinganda jeraha zao baba eeh
Hawa wote tengemeo lao ni wewe baba
Ndiposa wanasema

  (CHORUS)